#ZITTO

ZITTO AMSHUTUMU MAHIGA KUSHIRIKIANA NA ISRAEL

ZITTO AMSHUTUMU MAHIGA KUSHIRIKIANA NA ISRAEL

Maneno ya aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) baada ya Tanzania kuanziasha na Isreal Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo), ameshutumu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Augustine Mahiga kushirikiana na Israel wakati nchi hiyo inawanyanyasa Wapalestina. Amesema kwamba uamuzi wa Waziri Mahiga kushirikiana na nchi hiyo haukubaliwi…