Hoteli ya Canary nungwi mjini Zanzibar iliwatimua Waisraeli wanne waliomhoji mhudumu aliyekua katika sehemu ya mapokezi ya wageni kuhusu gari lililokuwa nje ya jengo hilo lililokua na stika zenye maandishi ya “free palestine”.
Waisraeli hao walielezwa kwamba gari hilo ni la meneja wa hoteli hiyo, na hatimaye walifukuzwa baada ya kulalamika kuwa gari hilo liliwapa “wasiwasi”.